Skip to content
سَبإ /

Aya 49

34 : 49
سَبإ Aya 54
Sura · سَبإ
Kiswahili · Barawani
34 : 49

قُلۡ جَآءَ ٱلۡحَقُّ وَمَا يُبۡدِئُ ٱلۡبَٰطِلُ وَمَا يُعِيدُ

Sema: Kweli imefika, na uwongo haujitokezi, wala haurudi.

Explanation & meanings · 1
  1. Waambie: Uislamu umedhihiri, wala uwongo hauwezi kuwa ndio njia ya kuipinga Haki. Na hizo mbinu za zamani hazirejei tena.