Skip to content
سَبإ /

Aya 29

34 : 29
سَبإ Aya 54
Sura · سَبإ
Kiswahili · Barawani
34 : 29

وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا ٱلۡوَعۡدُ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ

Na wanasema: Ahadi hii itakuwa lini, ikiwa nyinyi mnasema kweli?

Explanation & meanings · 1
  1. Na makafiri wanasema kwa kuifanya haiwi hiyo Siku iliyo ahidiwa kwa ajili ya malipo: Lini itakuwa ahadi hii tuingie Motoni, na nyinyi muingie Peponi, kama nyinyi ni wakweli kwa hiyo ahadi yenu?