Skip to content
الشعراء /

Aya 112

26 : 112
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 112

قَالَ وَمَا عِلۡمِي بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ

Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?.

Explanation & meanings · 1
  1. Nuhu akasema: Kitu gani cha kunijuvya uchache wa hadhi yao na mali yao? Nikitakacho mimi kwao ni Imani yao bila ya kutafuta kuzijua kazi zao.