Skip to content
الشعراء /

Aya 111

26 : 111
الشعراء Aya 227
Sura · الشعراء
Kiswahili · Barawani
26 : 111

۞ قَالُوٓاْ أَنُؤۡمِنُ لَكَ وَٱتَّبَعَكَ ٱلۡأَرۡذَلُونَ

Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?.

Explanation & meanings · 1
  1. Watu wa Nuhu, huku wakiukataa wito wake, walisema: Hatutokuwa na imani nawe maadamu wanakufuata watu duni kabisa, wasio kuwa na hadhi wala mali.