Skip to content
المؤمنُون /

Aya 90

23 : 90
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 90

بَلۡ أَتَيۡنَٰهُم بِٱلۡحَقِّ وَإِنَّهُمۡ لَكَٰذِبُونَ

Bali tumewaletea Haki, na kwa yakini hao ni waongo.

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika Sisi tumewabainishia Haki kwa ndimi za Mitume, na wao ni waongo katika kila jambo linalo khitalifu na Haki hii.