Skip to content
المؤمنُون /

Aya 54

23 : 54
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 54

فَذَرۡهُمۡ فِي غَمۡرَتِهِمۡ حَتَّىٰ حِينٍ

Basi waache katika ghafla yao kwa muda.

Explanation & meanings · 1
  1. Basi, ewe Muhammad, waachilie mbali makafiri na ujinga wao na kughafilika kwao, maadamu wewe umekwisha wanasihi, mpaka Mwenyezi Mungu awahukumie adhabu baadae.