Skip to content
المؤمنُون /

Aya 48

23 : 48
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 48

فَكَذَّبُوهُمَا فَكَانُواْ مِنَ ٱلۡمُهۡلَكِينَ

Basi wakawakanusha, na wakawa miongoni mwa walio angamizwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Basi waliwafanya waongo katika huo wito wao, na wakawa wenye kuhiliki kwa kuzamishwa.