Skip to content
المؤمنُون /

Aya 3

23 : 3
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 3

وَٱلَّذِينَ هُمۡ عَنِ ٱللَّغۡوِ مُعۡرِضُونَ

Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi!

Explanation & meanings · 1
  1. Hao wanashughulikia mambo ya maana, wanapuuza vitendo na maneno yasiyo na kheri ndani yake.