Skip to content
المؤمنُون /

Aya 2

23 : 2
المؤمنُون Aya 118
Sura · المؤمنُون
Kiswahili · Barawani
23 : 2

ٱلَّذِينَ هُمۡ فِي صَلَاتِهِمۡ خَٰشِعُونَ

Ambao ni wanyenyekevu katika Swala zao!

Explanation & meanings · 1
  1. Hao ambao wameambatisha juu ya Imani yao vitendo vyema. Basi hao katika Swala zao humuelekea Mwenyezi Mungu kwa nyoyo zenye kumkhofu na kumnyenyekea, wanahisi unyenyekevu wa mwisho kwake Yeye .