Skip to content
النَّحل /

Aya 58

16 : 58
النَّحل Aya 128
Sura · النَّحل
Kiswahili · Barawani
16 : 58

وَإِذَا بُشِّرَ أَحَدُهُم بِٱلۡأُنثَىٰ ظَلَّ وَجۡهُهُۥ مُسۡوَدّٗا وَهُوَ كَظِيمٞ

Na mmoja wao akibashiriwa kwa msichana, uso wake unasawijika,naye kajaa chuki.

Explanation & meanings · 1
  1. Na akiambiwa mmoja wao kwamba amepata mtoto wa kike, uso wake unasawijika kwa huzuni, naye amejaa hasira na amekasirika.