Skip to content
النَّحل /

Aya 4

16 : 4
النَّحل Aya 128
Sura · النَّحل
Kiswahili · Barawani
16 : 4

خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِن نُّطۡفَةٖ فَإِذَا هُوَ خَصِيمٞ مُّبِينٞ

Amemuumba mtu kwa tone la manii. Naye mara amekuwa mshindani dhaahiri.

Explanation & meanings · 1
  1. Amemuumba kila mmoja katika wanaadamu kutokana na maji maji yasiyo shikamana, nayo ni manii. Kutokana na hayo ndio anakuwa mtu mwenye nguvu za kujitetea nafsi yake, mshindani na makhasimu zake, mwenye kuweka wazi hoja zake.