Skip to content
النَّحل /

Aya 3

16 : 3
النَّحل Aya 128
Sura · النَّحل
Kiswahili · Barawani
16 : 3

خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ بِٱلۡحَقِّۚ تَعَٰلَىٰ عَمَّا يُشۡرِكُونَ

Ameziumba mbingu na ardhi kwa Haki. Ametukuka na wanayo shirikisha.

Explanation & meanings · 1
  1. Yeye ameumba mbingu na ardhi kwa mujibu wa hikima. Ametakasika kuwa na mshirika wa kufanya lolote katika utawala wake, au wa kuabudiwa kama Yeye.