Skip to content
الحِجر /

Aya 12

15 : 12
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 12

كَذَٰلِكَ نَسۡلُكُهُۥ فِي قُلُوبِ ٱلۡمُجۡرِمِينَ

Na kama hivi ndivyo tunavyo ingiza katika nyoyo za wakosefu.

Explanation & meanings · 1
  1. Kama tulivyo itia Qur'ani katika nyoyo za Waumini ikaingiza mwangaza, basi kadhaalika tumeingiza upotovu katika nyoyo za walio pigwa muhuri wa ukosefu; hali ya katika nyoyo zao ikawa kinyume cha hayo. Upotovu ukatia mizizi katika roho zao.