Skip to content
الحِجر /

Aya 13

15 : 13
الحِجر Aya 99
Sura · الحِجر
Kiswahili · Barawani
15 : 13

لَا يُؤۡمِنُونَ بِهِۦ وَقَدۡ خَلَتۡ سُنَّةُ ٱلۡأَوَّلِينَ

Hawayaamini haya, na hali ya kuwa umekwisha wapitia mfano wa watu wa kale.

Explanation & meanings · 1
  1. Wakhalifu hao hawaamini. Na mwendo wa Mwenyezi Mungu Mtukufu kuwapa muhula mpaka waione adhabu chungu ya Siku ya Kiyama ndio kama ulivyo kwisha tangulia.