Skip to content
يُوسُف /

Aya 35

12 : 35
يُوسُف Aya 111
Sura · يُوسُف
Kiswahili · Barawani
12 : 35

ثُمَّ بَدَا لَهُم مِّنۢ بَعۡدِ مَا رَأَوُاْ ٱلۡأٓيَٰتِ لَيَسۡجُنُنَّهُۥ حَتَّىٰ حِينٖ

Basi ikawadhihirikia baada ya kuona Ishara kuwa wamfunge kwa muda.

Explanation & meanings · 1
  1. Kisha ikadhihiri rai ya Mheshimiwa na watu wake, baada ya kwisha ona dalili zilizo wazi kuwa Yusuf hana makosa. Wakakubaliana rai hii, na wakaapa kuitimiza. Nayo ni kumtia yeye gerezani kwa muda mfupi au mrefu, ili kumkinga mkewe na maneno mabaya, na kumuepusha na masengenyo ya watu!