107 : 4
فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ
Basi, ole wao wanao swali,
Explanation & meanings · 1
- Maangamio yatawashukia wanao sali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.
فَوَيۡلٞ لِّلۡمُصَلِّينَ
Basi, ole wao wanao swali,