Skip to content
المَاعُون /

Aya 5

107 : 5
المَاعُون Aya 7
Sura · المَاعُون
Kiswahili · Barawani
107 : 5

ٱلَّذِينَ هُمۡ عَن صَلَاتِهِمۡ سَاهُونَ

Ambao wanapuuza Sala zao;

Explanation & meanings · 1
  1. Maangamio yatawashukia wanao swali na wakasifika kwa sifa hizi, na wakaghafilika na Swala zao wasinafiike nazo.