Skip to content
الفِيل /

Aya 2

105 : 2
الفِيل Aya 5
Sura · الفِيل
Kiswahili · Barawani
105 : 2

أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ

Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?

Explanation & meanings · 1
  1. Unajua ya kwamba hakika Mwenyezi Mungu amejaalia juhudi yao kutaka kuibomoa Al-Kaaba ivize na ipotelee mbali. Juhudi yao ikapeperuka, na wao wasipate makusudio yao.