Skip to content
القَارعَة /

Aya 5

101 : 5
القَارعَة Aya 11
Sura · القَارعَة
Kiswahili · Barawani
101 : 5

وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ

Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!

Explanation & meanings · 1
  1. Na milima itakuwa kama sufi iliyo tiwa rangi na kuchambuliwa kwa kutapanyika vipande mbali mbali na kupeperuka katika anga huku na huku.