Skip to content
التِّين /

Aya 8

95 : 8
التِّين Aya 8
Sura · التِّين
Kiswahili · Barawani
95 : 8

أَلَيۡسَ ٱللَّهُ بِأَحۡكَمِ ٱلۡحَٰكِمِينَ

Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?

Explanation & meanings · 1
  1. Kwani Mwenyezi Mungu aliye yatenda hayo tuliyo kueleza si muadilifu kuliko mahakimu wote kwa kufanya na kupanga?