Skip to content
اللَّيل /

Aya 8

92 : 8
اللَّيل Aya 21
Sura · اللَّيل
Kiswahili · Barawani
92 : 8

وَأَمَّا مَنۢ بَخِلَ وَٱسۡتَغۡنَىٰ

Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake!

Explanation & meanings · 1
  1. Ama mwenye kufanya ubakhili kwa mali yake asitoe haki ya Mwenyezi Mungu iliomo humo, na akawa hana haja na yatokayo kwa Mwenyezi Mungu,