Skip to content
اللَّيل /

Aya 11

92 : 11
اللَّيل Aya 21
Sura · اللَّيل
Kiswahili · Barawani
92 : 11

وَمَا يُغۡنِي عَنۡهُ مَالُهُۥٓ إِذَا تَرَدَّىٰٓ

Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?

Explanation & meanings · 1
  1. Na kitu gani katika adhabu ambacho hayo mali yake yataweza kumkinga nacho, atapo teketea yeye mwenyewe mzima?