Skip to content
التوبَة /

Aya 22

9 : 22
التوبَة Aya 129
Sura · التوبَة
Kiswahili · Barawani
9 : 22

خَٰلِدِينَ فِيهَآ أَبَدًاۚ إِنَّ ٱللَّهَ عِندَهُۥٓ أَجۡرٌ عَظِيمٞ

Watadumu humo milele. Hakika kwa Mwenyezi Mungu yapo malipo makubwa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na wao watadumu huko Peponi hawatoki. Na hakika kwa Mwenyezi Mungu yapo malipo makubwa, na thawabu nyingi.