Skip to content
الفَجر /

Aya 25

89 : 25
الفَجر Aya 30
Sura · الفَجر
Kiswahili · Barawani
89 : 25

فَيَوۡمَئِذٖ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُۥٓ أَحَدٞ

Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.

Explanation & meanings · 1
  1. Siku hiyo zitakuwa hali hizi, haadhibu mtu kama adhabu ya Mwenyezi Mungu, wala hafungi mtu kama afungavyo Yeye.