Skip to content
المُطَففين /

Aya 34

83 : 34
المُطَففين Aya 36
Sura · المُطَففين
Kiswahili · Barawani
83 : 34

فَٱلۡيَوۡمَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ مِنَ ٱلۡكُفَّارِ يَضۡحَكُونَ

Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,

Explanation & meanings · 1
  1. Basi Siku ya Malipo walio amini watakuwa ndio wa kuwacheka hao makafiri kwa kuwalipizia kile kicheko chao na kejeli yao ya duniani.