Skip to content
التَّكوير /

Aya 19

81 : 19
التَّكوير Aya 29
Sura · التَّكوير
Kiswahili · Barawani
81 : 19

إِنَّهُۥ لَقَوۡلُ رَسُولٖ كَرِيمٖ

Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,

Explanation & meanings · 1
  1. Hakika Qur'ani bila ya shaka ni kauli ya Mjumbe anaye toka kwa Mwenyezi Mungu, naye ni mwenye kuhishimiwa kwake,