79 : 16
إِذۡ نَادَىٰهُ رَبُّهُۥ بِٱلۡوَادِ ٱلۡمُقَدَّسِ طُوًى
Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la T'uwaa, akamwambia:
Explanation & meanings · 1
- Alipo mwita Mola wake Mlezi katika bonde lilio takaswa, linalo itwa "T'uwa"?