Skip to content
المُرسَلات /

Aya 36

77 : 36
المُرسَلات Aya 50
Sura · المُرسَلات
Kiswahili · Barawani
77 : 36

وَلَا يُؤۡذَنُ لَهُمۡ فَيَعۡتَذِرُونَ

Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.

Explanation & meanings · 1
  1. Wala hawatakuwa na idhini ya kutamka, wala hawatatoa udhuru, kwani hawana udhuru.