Skip to content
الإنسَان /

Aya 26

76 : 26
الإنسَان Aya 31
Sura · الإنسَان
Kiswahili · Barawani
76 : 26

وَمِنَ ٱلَّيۡلِ فَٱسۡجُدۡ لَهُۥ وَسَبِّحۡهُ لَيۡلٗا طَوِيلًا

Na usiku msujudie Yeye, na umtakase usiku, wakati mrefu.

Explanation & meanings · 1
  1. Na usiku sali magharibi na isha. Na fanya ibada za usiku kwa muda mrefu.