Skip to content
القِيَامة /

Aya 36

75 : 36
القِيَامة Aya 40
Sura · القِيَامة
Kiswahili · Barawani
75 : 36

أَيَحۡسَبُ ٱلۡإِنسَٰنُ أَن يُتۡرَكَ سُدًى

Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?

Explanation & meanings · 1
  1. Hivyo anadhani huyu mtu anaye kanya kufufuliwa kuwa ataachwa hivi hivi akiringa tu katika maisha yake, na akisha kufa iwe basi, wala asifufuliwe akahisabiwa kwa vitendo vyake?