Skip to content
القِيَامة /

Aya 31

75 : 31
القِيَامة Aya 40
Sura · القِيَامة
Kiswahili · Barawani
75 : 31

فَلَا صَدَّقَ وَلَا صَلَّىٰ

Kwa sababu hakusadiki, wala hakuswali.

Explanation & meanings · 1
  1. Binaadamu amekanya kufufuliwa, na kwa hivyo hakumsadiki Mtume wala Qur'ani. Wala hakumtimizia Mwenyezi Mungu faridha za Swala.