Skip to content
القِيَامة /

Aya 28

75 : 28
القِيَامة Aya 40
Sura · القِيَامة
Kiswahili · Barawani
75 : 28

وَظَنَّ أَنَّهُ ٱلۡفِرَاقُ

Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;

Explanation & meanings · 1
  1. Akayakinisha yule yaliyo mfika mauti kama lililo mshukia ni kuiacha dunia inayo pendwa, na imekwisha mfika shida yake kikomo cha mwisho.