Skip to content
القِيَامة /

Aya 24

75 : 24
القِيَامة Aya 40
Sura · القِيَامة
Kiswahili · Barawani
75 : 24

وَوُجُوهٞ يَوۡمَئِذِۭ بَاسِرَةٞ

Na zipo nyuso siku hiyo zitakao kunjana.

Explanation & meanings · 1
  1. Na nyuso nyengine zitakuwapo zimenuna, zimekunjana mno, zinangojea zitendewe jambo ambalo kwa kitisho chake linavunja uti wa mgongo.