Skip to content
القِيَامة /

Aya 25

75 : 25
القِيَامة Aya 40
Sura · القِيَامة
Kiswahili · Barawani
75 : 25

تَظُنُّ أَن يُفۡعَلَ بِهَا فَاقِرَةٞ

Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.

Explanation & meanings · 1
  1. Zinangojea zitendewe jambo ambalo kwa kitisho chake linavunja uti wa mgongo.