Skip to content
الأعرَاف /

Aya 25

7 : 25
الأعرَاف Aya 206
Sura · الأعرَاف
Kiswahili · Barawani
7 : 25

قَالَ فِيهَا تَحۡيَوۡنَ وَفِيهَا تَمُوتُونَ وَمِنۡهَا تُخۡرَجُونَ

Akasema: Humo mtaishi, na humo mtakufa, na kutoka humo mtatolewa

Explanation & meanings · 1
  1. Katika ardhi mnazaliwa, na mnaishi, na humo mnakufa na kuzikwa. Na kutoka huko mtatolewa wakati wa kufufuliwa.