Skip to content
الأعرَاف /

Aya 204

7 : 204
الأعرَاف Aya 206
Sura · الأعرَاف
Kiswahili · Barawani
7 : 204

وَإِذَا قُرِئَ ٱلۡقُرۡءَانُ فَٱسۡتَمِعُواْ لَهُۥ وَأَنصِتُواْ لَعَلَّكُمۡ تُرۡحَمُونَ

Na isomwapo Qur'ani isikilizeni na mnyamaze ili mpate kurehemewa.

Explanation & meanings · 1
  1. Enyi Waumini! Mkisomewa Qur'ani isikilizeni kwa masikio yenu, mpate kuzingatia mawaidha yake, na msikilize vizuri mpate kuipata rehema.