Skip to content
الأعرَاف /

Aya 115

7 : 115
الأعرَاف Aya 206
Sura · الأعرَاف
Kiswahili · Barawani
7 : 115

قَالُواْ يَٰمُوسَىٰٓ إِمَّآ أَن تُلۡقِيَ وَإِمَّآ أَن نَّكُونَ نَحۡنُ ٱلۡمُلۡقِينَ

Wakasema: Ewe Musa! Je, utatupa wewe, au tutakuwa sisi tutao tupa?

Explanation & meanings · 1
  1. Kisha wachawi wakamgeukia Musa, baada ya Firauni kuwaahidi alivyo waahidi, na wao wakaonyesha wana imani na nafsi zao na kujitayarisha kwao kwa uchawi wao katika uwanja wa mapambano. Wakamwabia: Ama utupe ulicho nacho kwanza, au sisi tuwe wenye kutupa tulicho nacho.