7 : 112
يَأۡتُوكَ بِكُلِّ سَٰحِرٍ عَلِيمٖ
Wakuletee kila mchawi mjuzi.
Explanation & meanings · 1
- Wakuletee kila mwanachuoni wa ilimu za uchawi. Na wao watakufichulia nini khasa hakika ya aliyo kuja nayo Musa, asije akafitinika yeyote.
يَأۡتُوكَ بِكُلِّ سَٰحِرٍ عَلِيمٖ
Wakuletee kila mchawi mjuzi.