Skip to content
الأعرَاف /

Aya 107

7 : 107
الأعرَاف Aya 206
Sura · الأعرَاف
Kiswahili · Barawani
7 : 107

فَأَلۡقَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ ثُعۡبَانٞ مُّبِينٞ

Basi akaitupa fimbo yake, na mara ikawa nyoka dhaahiri.

Explanation & meanings · 1
  1. Kiasi ya Musa kuitupa fimbo aliyo kuwa nayo mkononi mwake wa kulia mbele ya Firauni, mara hiyo fimbo ikawa nyoka khasa dhaahiri, anakwenda mbio huku na huku, kwa nguvu zinazo onyesha kuwa ana uhai timamu.