Skip to content
الحَاقة /

Aya 41

69 : 41
الحَاقة Aya 52
Sura · الحَاقة
Kiswahili · Barawani
69 : 41

وَمَا هُوَ بِقَوۡلِ شَاعِرٖۚ قَلِيلٗا مَّا تُؤۡمِنُونَ

Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.

Explanation & meanings · 1
  1. Wala Qur'ani si maneno ya mtunga mashairi kama mnavyo dai. Ama nyinyi ni chache mno imani yenu ya kuwa Qur'ani inatoka kwa Mwenyezi Mungu.