Skip to content
الحَاقة /

Aya 37

69 : 37
الحَاقة Aya 52
Sura · الحَاقة
Kiswahili · Barawani
69 : 37

لَّا يَأۡكُلُهُۥٓ إِلَّا ٱلۡخَٰطِـُٔونَ

Chakula hicho hawakili ila wakosefu.

Explanation & meanings · 1
  1. Hawakili chakula hicho ila wakosefu walio kusudia kufanya maasi yao, na wakakamia kuendelea nayo.