Skip to content
الحَاقة /

Aya 16

69 : 16
الحَاقة Aya 52
Sura · الحَاقة
Kiswahili · Barawani
69 : 16

وَٱنشَقَّتِ ٱلسَّمَآءُ فَهِيَ يَوۡمَئِذٖ وَاهِيَةٞ

Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.

Explanation & meanings · 1
  1. Na mbingu zitapasuka kwa kuondoka hukumu zake na sharia zake, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu baada ya kuwa madhubuti zenye nguvu.