Skip to content
القَلَم /

Aya 47

68 : 47
القَلَم Aya 52
Sura · القَلَم
Kiswahili · Barawani
68 : 47

أَمۡ عِندَهُمُ ٱلۡغَيۡبُ فَهُمۡ يَكۡتُبُونَ

Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika?

Explanation & meanings · 1
  1. Au kwani wao wanajua yaliyo fichikana na wao wanayaandika na ndio wanahukumu kwa hayo?