56 : 88
فَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ
Basi akiwa miongoni mwa walio karibishwa,
Explanation & meanings · 1
- Ama akiwa huyo aliye kabiliwa na mauti ni katika walio tangulia walio karibishwa ,
فَأَمَّآ إِن كَانَ مِنَ ٱلۡمُقَرَّبِينَ
Basi akiwa miongoni mwa walio karibishwa,