Skip to content
الوَاقِعة /

Aya 57

56 : 57
الوَاقِعة Aya 96
Sura · الوَاقِعة
Kiswahili · Barawani
56 : 57

نَحۡنُ خَلَقۡنَٰكُمۡ فَلَوۡلَا تُصَدِّقُونَ

Sisi tumekuumbeni; basi hamsadiki?

Explanation & meanings · 1
  1. Sisi tulianza kukuumbeni mlipo kuwa si chochote, basi hebu hamkiri uweza wetu wa kukurejesheni tena baada ya kukufufueni?