Skip to content
الوَاقِعة /

Aya 25

56 : 25
الوَاقِعة Aya 96
Sura · الوَاقِعة
Kiswahili · Barawani
56 : 25

لَا يَسۡمَعُونَ فِيهَا لَغۡوٗا وَلَا تَأۡثِيمًا

Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,

Explanation & meanings · 1
  1. Huko Peponi hawatasikia maneno yasiyo kuwa na maana, wala masimulizi ya kumtia dhambini mwenye kuyasikia.