56 : 24
جَزَآءَۢ بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
Explanation & meanings · 1
- Watapewa haya kuwa ni malipo kwa mambo mema waliyo kuwa wakiyatenda duniani.
جَزَآءَۢ بِمَا كَانُواْ يَعۡمَلُونَ
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.