Skip to content
الطُّور /

Aya 37

52 : 37
الطُّور Aya 49
Sura · الطُّور
Kiswahili · Barawani
52 : 37

أَمۡ عِندَهُمۡ خَزَآئِنُ رَبِّكَ أَمۡ هُمُ ٱلۡمُصَۜيۡطِرُونَ

Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka?

Explanation & meanings · 1
  1. Kwani wao wanazo khazina za Mola wako Mlezi wanazo zisarifu watakavyo? Au wana nguvu za kutenda watakavyo, na kupanga mambo kama wapendavyo?