52 : 30
أَمۡ يَقُولُونَ شَاعِرٞ نَّتَرَبَّصُ بِهِۦ رَيۡبَ ٱلۡمَنُونِ
Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
Explanation & meanings · 1
- Bali ati wanasema huyu ni mtunga mashairi, tunaye mngojea afikiwe na mauti!