52 : 27
فَمَنَّ ٱللَّهُ عَلَيۡنَا وَوَقَىٰنَا عَذَابَ ٱلسَّمُومِ
Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya upepo wa Moto.
Explanation & meanings · 1
- Mwenyezi Mungu akatufadhili kwa rehema yake, na akatukinga na adhabu ya Moto.